Trump azindua “Bodi ya Amani” Davos, asema dunia inaweza kuongozwa kutokea Marekani
Davos. Rais wa Marekani, Donald Trump, amezua mjadala wa kimataifa baada ya kuzindua rasmi chombo kipya cha kimataifa alichokiita Bodi ya Amani, ambacho amelenga kiwe mbadala wa Umoja wa Mataifa. Akitangaza amesema kuwa mara kitakapokamilika, Marekani na washirika wake “wanaweza kufanya karibu chochote wanachotaka.” Trump ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 22, 2026 wakati wa…