Zanzibar yazindua kampeni ya “Visit Zanzibar” jijini London
Na Mwandishi wetu Dar es Salaam. Zanzibar imezindua rasmi kampeni yake ya kwanza kabisa ya masoko ya utalii ya kimataifa ijulikanayo kama Visit Zanzibar jijini London, Uingereza, ikitumia mabasi maarufu ya kisasa ya jiji hilo. Zinduzi huo ni jukwaa lenye mvuto mkubwa la kutangaza visiwa hivyo kwa mamilioni ya wakazi na wageni wa kimataifa wanaotembelea…