TANESCO RUVUMA YAHIMIZA MATUMIZI YA VIFAA VYA UMEME VYENYE UBORA MAJUMBANI KUEPUKA HATARI
Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa TANESCO mkoa wa Ruvuma, Alan Njiro, ametoa wito kwa wateja wa shirika hilo kuhakikisha wanatumia vifaa vya umeme vyenye ubora na vinavyokidhi viwango katika nyumba zao ili kuepuka changamoto na hatari zinazoweza kujitokeza kutokana na matumizi ya vifaa visivyo na ubora au feki. Njiro ametoa wito huo akiwa…