Wanayopitia wapinzani nchini Uganda | Mwananchi
Dar es Salaam. Safari ya upinzani nchini Uganda imezidi kuibua mjadala miongoni mwa wadau wa siasa na haki za binadamu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Hali hiyo inatokana na mwendelezo wa hatua kali za Serikali ya Rais Yoweri Museveni dhidi ya wapinzani wake wakuu wa hivi karibuni, wakiwemo Robert Ssentamu maarufu Bobi Wine na Kizza…