Wajukuu 10 wakomalia mtuhumiwa mauaji ya Patrice Lumumba ashtakiwe

Ubelgiji. Familia ya shujaa wa uhuru wa Kongo hayati Patrice Lumumba, imesema imeanzisha upya ufuatiliaji kuhusu ukweli wa kifo cha mwanamapinduzi huyo ambaye alikuwa kipenzi cha Wakongo ili haki ipatikane. Mahakama ya Ubelgiji imeelezea hatua hiyo ikisema inatafakari uwezekano wa kumshtaki mshukiwa pekee aliyebakia kuhusiana na mauaji ya Lumumba yaliyotokea Januari 17, 1961. Mjuu wa…

Read More

Aviator ya Meridianbet Yabadili Ushindi Kuwa Uhalisia

MERIDIANBET inaendelea kuonesha tofauti yake kwenye ulimwengu wa michezo ya kubashiri kwa kuunganisha burudani, ushindani na zawadi zenye thamani halisi. Kupitia kampeni mpya ya mchezo wa Aviator, wachezaji hawashindanii pesa pekee, bali pia nafasi ya kujinyakulia Samsung Galaxy A26 mpya kabisa, simu ya kisasa inayokidhi mahitaji ya kila siku. Aviator ni zaidi ya mchezo wa…

Read More

Dakika 90 za UEFA, Nafasi Kubwa ya Ushindi Meridianbet

LIGI ya mabingwa Barani Ulaya itaendelea pia hapo kesho ambapo timu za pesa zote zitakuwepo uwanjani kusaka nafasi ya kusonga mbele. Chelsea, Bayern, Liver na wengine kibao wapo kwaajili ya kukupatia pesa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. Tukianza na Galatasaray wao watamualika kwake Atletico Madrid ya Diego Simeone ambao mpaka sasa wapo nafasi…

Read More