Mambo mawili yamrudisha Chama Simba

DEAL Done! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya kiungo fundi raia wa Zambia, Clatous Chama ‘Mwamba wa Lusaka’ taarifa kuthibitisha amerudi Simba baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja akitokea Singida Black Stars, huku mambo mawili yakimbeba. Kukamilika kwa usajili huo ambao umethibitishwa…

Read More

UN inalaani vikali ubomoaji wa makao makuu ya UNRWA huko Jerusalem Mashariki – Masuala ya Ulimwenguni

Akijibu maendeleo hayo makubwa, mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi wa Kipalestina Philippe Lazzarini alieleza kuwa ni “shambulio ambalo halijawahi kutokea” dhidi ya Umoja wa Mataifa, ambao majengo yake yanalindwa chini ya sheria za kimataifa. Hatua hiyo inawakilisha “kiwango kipya cha ukiukaji wa wazi na wa makusudi wa sheria za kimataifa, ikiwa…

Read More

MIZIGO YA TANI MILIONI 12 IMEPITISHWA BANDARINI KUHUDUMIA NCHI JIRANI KWA MWAKA 2024/25- MSIGWA

 ::::::::::: Bandari za Tanzania zikiongozwa na Bandari kuu ya Dar Es Salaam zimetajwa kuendelea kuwa kiungo muhimu kwa kuhudumia baadhi ya Mataifa yenye kuizunguka Tanzania na yasiyokuwa na bandari, suala linalodhihirisha umuhimu na upekee wa Tanzania katika utoaji wa huduma za usafiri na usafirishaji kwa nchi hizo. Kulingana na Msemaji Mkuu wa serikali Bw. Gerson…

Read More