RAIS SAMIA AIBUKA KINARA TUZO ZA UHIFADHI NA UTALII

● Rais Samia atunukiwa Tuzo Maalum ya Kiongozi Mwenye Maono ● Watalii wa kimataifa wafikia zaidi ya milioni 2.09 mwaka 2025. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibuka kinara wa Tuzo za Kitaifa za Uhifadhi na Utalii (Serengeti Awards) kutokana na uongozi wake bora na wa kimkakati katika kukuza…

Read More

Wabunge ‘wanavyovaa’ sura tofauti | Mwananchi

Dar es Salaam. Tofauti na matarajio ya wengi waliokuwa wakikosoa na kuhofia iwapo Bunge la 13 lisingeweza kuweka mbele maslahi ya wananchi katika kusimamia uwajibikaji wa Serikali kutokana na kutawaliwa na chama kimoja, hali inaonekana kubadilika. Tangu kuanza kwa Mkutano wa Pili wa Bunge la 13 unaoendelea jijini Dodoma, baadhi ya wabunge wameibua hoja nzito…

Read More