Fursa Kubwa kwa Watanzania: Nafasi 1,150 za Udereva Qatar Zinatangazwa
Fursa Kubwa kwa Watanzania: Nafasi 1,150 za Udereva Qatar Zinatangazwa – Global Publishers Home Habari Fursa Kubwa kwa Watanzania: Nafasi 1,150 za Udereva Qatar Zinatangazwa
Fursa Kubwa kwa Watanzania: Nafasi 1,150 za Udereva Qatar Zinatangazwa – Global Publishers Home Habari Fursa Kubwa kwa Watanzania: Nafasi 1,150 za Udereva Qatar Zinatangazwa
Mahakama Kuu Yaiamuru Serikali Kumlipa Bilioni 3.22 Mmiliki wa Jengo Lililobomolewa Mbezi – Global Publishers Home Habari Mahakama Kuu Yaiamuru Serikali Kumlipa Bilioni 3.22 Mmiliki wa Jengo Lililobomolewa Mbezi
Tshisekedi Aweka Masharti Magumu Mazungumzo ya Amani DRC – Global Publishers Home Habari Tshisekedi Aweka Masharti Magumu Mazungumzo ya Amani DRC
Ubadilishanaji wa data kwa kufumba na kufumbua umetolewa katika sehemu kubwa ya dunia – na bado sisi mara chache tunatulia kufikiria ni nini hufanya yote yawezekane: mtandao changamano wa kimataifa wa nyaya katika vilindi vya bahari ambao hutuunganisha kimya kimya. Katika enzi ya kisasa ya habari, nyaya za chini ya bahari zimekuwa msingi thabiti wa…
KOCHA wa Simba, Steve Barker, amesema matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Esperance de Tunis yameacha maumivu makubwa ndani ya kikosi baada ya kushindwa kulinda uongozi wa mabao mawili walioupata mapema katika mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. …
KUREJEA kikosini kwa kipa wa Simba, Yakoub Suleiman, aliyekuwa nje kuuguza majeraha baada ya kuumia akiwa na Taifa Stars wakati ikijiandaa dhidi Nigeria katika Fainali za AFCON 2025, kunakwenda kuongeza nguvu katika eneo hilo ambalo alibaki Mahamadou Tanja Djibrilla Kassali aliyesajiliwa katika dirisha dogo na Hussein Abel. …