Mafaili ya Epstein yanavyobeba hatima ya jela kwa wanasiasa, matajiri – 2
Wakati vyama vya Democratic na Republican vikilitazama sakata la Mafaili ya Epstein kisiasa, wakifikiria mtaji wakati wa uchaguzi wa nusu muhula mwaka huu (2026) na uchaguzi mkuu wa 2028, ukweli ni kwamba kashfa hiyo haipaswi kupewa tafsiri yoyote ya kisiasa na wanasiasa. Vitendo vya Epstein na wenzake ni kielelezo cha jinsi watu ambao wangepaswa kuaminika…