Hatari ya saratani kwa wapenda nyamachoma

Nyama choma ni miongoni mwa vyakula vinavyopendwa kwa kiwango kikubwa, hasa katika mikusanyiko ya kijamii na sherehe. Hata hivyo, kazi za kitafiti za kisayansi zimeonyesha kuwa ulaji wa nyama iliyochomwa sana au iliyoungua unaweza kuhusishwa na ongezeko la hatari ya baadhi ya saratani, hususan kansa ya utumbo mpana. Utafiti uliofanywa mwaka 2005 na Taasisi ya…

Read More

Heche ataja masharti mawili Chadema kukaa meza ya maridhiano

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche, ametaja mambo mawili yatakayosaidia chama hicho kupata mwanga wa kufikiria kushiriki katika maridhiano yaliyotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Rais Samia alipofungua Bunge la 13 Novemba 14, 2025, mjini Dodoma, kwenye hotuba yake alitangaza kuwa Serikali imeunda tume ya uchunguzi ili…

Read More

Risasi shuleni nchini Kanada, mlipuko wa kipindupindu nchini DR Congo, uhamishaji wa watu huko Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

António Guterres “alihuzunishwa kujua kuhusu tukio la kupigwa risasi huko Tumble Ridge, British Columbia,” msemaji wake Stéphane Dujarric alisema katika taarifa ya kila siku ya habari. “(Bw. Guterres) anatoa rambirambi zake za dhati kwa walioathirika na rambirambi zake kwa Serikali na watu wa Kanada,” Bw. Dujarric aliongeza. Matukio mawili ya uhalifu Kulingana na ripoti za…

Read More

Huu ndo mtego pekee mgumu Yanga

HAKUNA kitu kinachosubiriwa kwa hamu na Wanayanga kwa sasa kama kuiona timu yao ikipata ushindi mbele ya JS Kabylie ya Algeria na kufuzu hatua ya robo fainali kutoka Kundi B katika Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini kuna rekodi ya kutisha nyuma ya pambano hilo linalopigwa Jumapili. …

Read More