Beki Bigman matumaini kibao Championship

BEKI wa kati wa Bigman FC, Better Abdallah Mnyamisi, amesema licha ya kukitumikia kikosi hicho kwa muda wa mwezi mmoja tangu ajiunge nacho akitokea, IAA ya jijini Arusha inayoshiriki Ligi Daraja la Pili, ila anafurahia maisha yake mapya. Nyota huyo alijiunga na IAA baada ya kuachana na TMA ya jijini Arusha inayoshiriki Ligi ya Championship,…

Read More

Ishu ya penalti Namungo iko hivi!

BAADA ya wimbi la wachezaji wa Namungo kuzidi kukosa penalti katika mechi za Ligi Kuu Bara msimu huu, kocha wa kikosi hicho cha ‘Wauaji wa Kusini’, Juma Mgunda amesema hakuna mtu wa moja kwa moja wa kupiga isipokuwa aliyekuwa na utayari. Kauli ya Mgunda inajiri baada ya Cyprian Kipenye kukosa penalti moja kati ya mbili…

Read More

Wadau wataka tiba saikolojia kwa wachezaji

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Aman Josiah amelitaja suala la saikolojia kwa wachezaji kuwa ni eneo muhimu nje ya uwanja ambalo makocha wanapaswa kulijua ipasavyo. Josiah amesema kocha mwenye diploma A ya Shiriksho la Soka Afrika (CAF), ni lazima apitie eneo la saikolojia litakalomsaidia kuwajua wachezaji na kuendana nao ili kutimiza malengo ya timu. “Mbali…

Read More

Buba mtu! Pedro akunjua moyo

KIKOSI cha Yanga usiku wa jana kilikuwa uwanjani kupigania hatma ya kupenya kwenda robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya JS Kabylie ya Algeria, lakini mapema kocha mkuu wa timu hiyo, Pedro Goncalves amekiri kuna vitu ameviona kwa kiungo mpya Buba Jammeh. …

Read More

MAHOJIANO MAALUMU: Wasira ataja muundo wa maridhiano, agusia kesi za kisiasa

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema kwa hali ilivyo muundo wa maridhiano unapaswa kuihusisha Serikali ili iiongoze jamii kuridhiana. Amefafanua kuhusu maridhiano ilhali kuna viongozi wa kisiasa wanaoshikiliwa na vyombo vya dola, akisema kuridhiana hakupaswi kuchanganywa na uhalifu, kama mtu amevunja sheria anastahili kuwajibishwa kama raia mwingine….

Read More