Yanga inavyorudi kibingwa ikianza upyaa Bara
BAADA ya kung’olewa katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika licha ya ushindi wa kishindo wa mabao 3-0 mbele ya JS Kabylie ya Algeria, Yanga inarejea mzigo kuanza utetezi wa taji la Kombe la Shirikisho CRDB ikikabiliana na mabingwa wa zamani wa Tanzania, Cosmopolitan. …