MWANAFUNZI MUHAS ABUNI KIFAA CHA KUPIMA MANJANO BILA KUCHUKUA DAMU.

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MWANAFUNZI wa Uhandisi Tiba kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) wamekuja na ubunifu wa kifaa kinachoitwa BiliMeasure, kinachotumika kupima kiwango cha bilirubini inayosababisha homa ya manjano kwa watoto wachanga bila kuchukua sampuli ya damu. Akizungumza katika Maonesho ya Pili ya Ubunifu ya MUHAS (Innovation Week 2026), yaliyofanyika leo…

Read More

TABESA YAZINDUA ‘SAUTI APP ’ KURAHISISHA MAWASILIANO KWA WENYE CHANGAMOTO YA KUSIKIA

MWANAFUNZI wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), Jocelyne Joshua, amesema wao kama kikundi cha Tanzania Biomedical Engineering Students Association (TABESA) wamebuni teknolojia maalum itakayowawezesha watu wenye changamoto ya usikivu kujumuika kikamilifu katika jamii na kueleweka kwa urahisi. Jocelyne ambaye anasomea ya Shahada ya Uhandisi Tiba amesema awali…

Read More

Tanzania yasajili rasmi dawa mpya kudhibiti VVU

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesajili rasmi dawa ya Lenacapavir kwa ajili ya kudhibiti na kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua inayotajwa kuleta mapinduzi katika tiba na kinga dhidi ya maambukizi hayo nchini. Dawa hiyo ya sindano inayozuia maambukizi ya VVU, yenye uwezo wa kutumika kama mbadala wa ARV’s kwa wenye maambukizi…

Read More

WATOA HUDUMA YA LPG PWANI WAKUMBUSHWA USALAMA

:::::::::: Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Mashariki imewakumbusha wafanyabiashara na wadau wa gesi ya kupikia (LPG) kuzingatia usalama, afya na utunzaji wa mazingira, wakati wa kusafirisha, kuhifadhi na kuuza bidhaa hizo kwa wateja. Meneja wa EWURA Kanda ya Mashariki, Mha. Lorivii Long’idu, akizungumza wakati wa semina ya wadau…

Read More

Tanzania yateuliwa mwenyeji ununuzi wa pamoja wa dawa SADC

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imeteuliwa kuwa mwenyeji wa Mpango wa Ununuzi wa Pamoja wa Dawa na vifaatiba kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), maarufu SPPS, hatua inayotarajiwa kupunguza gharama za dawa na kuimarisha upatikanaji wake katika ukanda huo. Licha ya kwamba Tanzania imewahi kuteuliwa awali, uteuzi wa sasa unaonekana…

Read More

Mwigulu Aonya Watumishi Kumiliki Vizimba Kwenye Masoko Ya Halmashauri

Global Publishers February 24, 2026 0 Comments Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amewaonya watumishi wa Halmashauri mbalimbali ambao wamekuwa wakichukua vizimba katika masoko mbalimbali na kuvikodisha kwa gharama ya juu kwa wafanyabiashara, akisema ikiwa atabaini kufanyika kwa tabia hiyo, mtumishi huyo atakuwa amejifukuzisha kazi serikalini. Waziri Mkuu Mwigulu…

Read More