Tengeneza Jamvi Lako la Ushindi Kupitia Meridianbet

JUMATANO ya ushindi na Meridianbet imefika, Timu zote zinawania nafasi ya kufuzu hatua ya 16 bora kwenye michuano ya UEFA mkondo wa pili kuchezawa leo. Wewe unachotakiwa kufanya ni kubashiri na Meridianbet. Atalanta atakipiga dhidi ya Borussia Dortmund ya kule Ujerumani ambapo mechi ya mkondo wa kwanza wlaipokutana, wenyeji walipoteza. Mechi hii ya leo ndio…

Read More

Mayele afufuka baada ya siku 122

MSHAMBULIAJI wa Pyramids FC na timu ya taifa ya DR Congo, Fiston Mayele amemaliza ukame wa siku 122 baada ya juzi kufunga bao la Ligi Kuu ya Misri katika mechi ya ushindi wa mabao 3-1 wa timu hiyo dhidi ya Ghazl El Mahallah. Mara ya mwisho kwa nyota huyo wa zamani wa Yanga kufunga katika…

Read More

Biashara mtandao kurasmishwa Zanzibar | Mwananchi

Unguja. Serikali imesema inatambua umuhimu wa ukuaji wa biashara mtandaoni kama chachu ya maendeleo ya uchumi, upanuzi wa masoko na uongezaji wa ajira. Imesema kwa ufahamu huo, ndiyo sababu imechukua hatua za kimkakati kuhakikisha biashara hizo zinatambulika rasmi na kupewa mazingira bora ya kustawi. Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kutungwa kwa Sera ya Biashara ya…

Read More