Saleh Aipa Moyo Simba Kabla ya Dabi ya Kariakoo ‘Wajiamini’ – Video
Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Mchambuzi nguli wa soka nchini, Saleh Jembe, amesisitiza kuwa hakuna sababu kwa Simba kuiogopa Yanga Machi 01, 2026 katika dimba la New Amaan Complex visiwani Zanzibar, maarufu kwa jina la utani Guantanamo Bay. Kwa mujibu wa Jembe, mechi kati ya Simba na Yanga ni ya ushindani wa kihistoria…