Halmashauri ya Jiji la Mbeya Yatangaza Nafasi 19 za Ajira
Global Publishers March 5, 2026 0 Comments Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi na tisa (19) baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Kumb. Na: MCC/E.40/5/VOL. II/85Tarehe: 04/03/2026 1.0 DEREVA DARAJA LA II – NAFASI 13 Ngazi ya…