Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb)(kulia) akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL), Bw. Paul Makanza, baada ya kikao chake na ujumbe kutoka kampuni hiyo, katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili umuhimu wa kudumisha mazingira thabiti na yanayotabirika ya sera za kifedha na kanuni ili kuhamasisha uwekezaji wa muda mrefu wa sekta binafsi, kuimarisha uwezo wa uzalishaji wa ndani, kuongeza matumizi ya malighafi za ndani, na kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Sekta ya Viwanda ili kufungua fursa za ukuaji jumuishi na endelevu wa uchumi.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb)(kushoto) akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Serengeti Breweries, Bw. Obinna Anyalebechi, baada ya kikao chake na ujumbe kutoka kampuni hiyo, katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili umuhimu wa kudumisha mazingira thabiti na yanayotabirika ya sera za kifedha na kanuni ili kuhamasisha uwekezaji wa muda mrefu wa sekta binafsi, kuimarisha uwezo wa uzalishaji wa ndani, kuongeza matumizi ya malighafi za ndani, na kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Sekta ya Viwanda ili kufungua fursa za ukuaji jumuishi na endelevu wa uchumi.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akizungumza wakati alipokutana na ujumbe kutoka Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL), ukiongozwa na Mwenyekiti wake wa Bodi ya Wakurugenzi Bw. Paul Makanza (hayupo pichani), katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili umuhimu wa kudumisha mazingira thabiti na yanayotabirika ya sera za kifedha na kanuni ili kuhamasisha uwekezaji wa muda mrefu wa sekta binafsi, kuimarisha uwezo wa uzalishaji wa ndani, kuongeza matumizi ya malighafi za ndani, na kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Sekta ya Viwanda ili kufungua fursa za ukuaji jumuishi na endelevu wa uchumi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Serengeti Breweries, Bw. Obinna Anyalebechi, akizungumza jambo wakati wa kikao cha ujumbe wa Kampuni hiyo na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) (hayupo pichani), katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili umuhimu wa kudumisha mazingira thabiti na yanayotabirika ya sera za kifedha na kanuni ili kuhamasisha uwekezaji wa muda mrefu wa sekta binafsi, kuimarisha uwezo wa uzalishaji wa ndani, kuongeza matumizi ya malighafi za ndani, na kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Sekta ya Viwanda ili kufungua fursa za ukuaji jumuishi na endelevu wa uchumi.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL), Bw. Paul Makanza, akizungumza jambo wakati wa kikao cha ujumbe wa Kampuni hiyo na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) (hayupo pichani), katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili umuhimu wa kudumisha mazingira thabiti na yanayotabirika ya sera za kifedha na kanuni ili kuhamasisha uwekezaji wa muda mrefu wa sekta binafsi, kuimarisha uwezo wa uzalishaji wa ndani, kuongeza matumizi ya malighafi za ndani, na kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Sekta ya Viwanda ili kufungua fursa za ukuaji jumuishi na endelevu wa uchumi.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) (Katikati), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL), Bw. Paul Makanza (kushoto), na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Bw. Obinna Anyalebechi, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza kikao chao kilichofanyika katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili umuhimu wa kudumisha mazingira thabiti na yanayotabirika ya sera za kifedha na kanuni ili kuhamasisha uwekezaji wa muda mrefu wa sekta binafsi, kuimarisha uwezo wa uzalishaji wa ndani, kuongeza matumizi ya malighafi za ndani, na kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Sekta ya Viwanda ili kufungua fursa za ukuaji jumuishi na endelevu wa uchumi.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dar es Salaam)