Rais Trump ameitishia Umoja wa Ulaya kwa asilimia 200 kwenye mvinyo

Rais wa Marekani Donald Trump leo aliitishia Umoja wa Ulaya kwa ushuru wa asilimia 200 kwenye mvinyo, Champagne na aina nyingine ya pombetengenezwa katika nchi 27 wanachama wa umoja huo, baada ya EU kuweka ushuru wa asilimia 50 kwa Whisky ya Marekani.

Trump aliandika kwenye mtandao wake wa kijamii wa Truth Social kwamba EU ni ya mamlaka ya kodi ya chuki yenye unyanyasaji na ushuru duniani. Alisema iliundwa mwaka 1993 kwa lengo pekee la kutumia fursa ya kiuchumi.

Katika mwezi uliopita, Trump amekuwa akipigana vita vya ushuru hapo hapo, na washirika wake wa biashara – Mexico, Canada, China na EU katika kile anachosema ni juhudi za kuzuia mtiririko wa dawa za kulevya, hasa Fentanyl, ndani ya Marekani kutoka kutoka Mexico na Canada, na pia kuwashawishi kufunga kazi zao nje ya nchi na kuzihamishia ili kubuni ajira nyingi Marekani.