MWENYEKITI WA KAMATI YA TEITI APONGEZA MGODI WA DHAHABU WA GEITA KWA KUTEKELEZA SHERIA NA MIRADI YA CSR

📍*Geita.* Mwenyekiti wa Kamati ya TEITI, Balozi Wilson Masilingi, ametembelea Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mining Limited akiambatana na Menejimenti ya TEITI, kwa lengo la kujitambulisha na kufanya mazungumzo na menejimenti ya mgodi huo. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Balozi Masilingi alisema ziara hiyo imelenga kujenga na kuimarisha ushirikiano kati ya TEITI na wadau…

Read More

MAKAMU WA RAIS DKT.NCHIMBI AWASIHI VIONGOZI WA DINI. NA WATANZANIA KUIOMBEA NCHI,VIONGOZI WA SERIKALI NA VYAMA VYA SIASA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla kutumia mwezi wa toba wa Ramadhani na Kwaresma kuiombea Nchi, Viongozi wa Serikali na Vyama vya Siasa ili kujenga nchi moja yenye upendo na mshikamano. Makamu wa Rais, amesema hayo mara baada ya kushiriki…

Read More

Anguko la biashara za familia liko hapa

Biashara za familia ni sehemu muhimu sana ya uchumi katika nchi nyingi duniani, na Tanzania pia ni miongoni mwa nchi hizo. Kuanzia maduka madogo ya rejareja, biashara za usafirishaji, kilimo, ujenzi hadi biashara za jumla, biashara nyingi nchini zinamilikiwa na kuendeshwa na familia. Biashara hizi hutoa ajira, huongeza kipato cha familia, na huchangia maendeleo ya…

Read More

Nafasi ya Tanzania katika uchumi wa dunia kupitia madini muhimu

Dunia inapoharakisha mpito kutoka nishati ya mafuta na gesi kwenda nishati safi, madini muhimu yanayotumika katika teknolojia mpya yameanza kuwa nguzo ya ushindani wa kiuchumi kati ya mataifa makubwa. Katika mabadiliko hayo ya kimataifa, Tanzania imeanza kujitokeza kama moja ya nchi zenye rasilimali zinazoweza kuwa na mchango mkubwa katika mustakabali wa uchumi wa dunia. Madini…

Read More

Nguvu ya jua katika ujenzi wa uchumi wa bluu

Kuna methali ya Kiswahili inayosema, “Samaki mkunje angali mbichi.” Tunaielewa vyema maana yake ni kushughulikia fursa au tatizo mapema kabla halijawa gumu. Leo, katika zama hizi za mabadiliko ya tabianchi na msukosuko wa kiuchumi, tunaweza kuitumia kuelezea jambo lingine: tunapaswa kukumbatia nishati mbadala mapema ili kuufikia ustawi wa bahari zetu, ambao tunauita “Uchumi wa Bluu.”…

Read More

Jinsi Ya Kudhibiti Kupanda Kwa Shinikizo La Damu

Global Publishers March 12, 2026 Shinikizo la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira unaoweza kujazwa hewa. Ukanda huo hufungwa kwenye sehemu ya juu ya mkono na kuunganishwa na kifaa cha kurekodi shinikizo. Kifaa hicho hurekodi vipimo viwili. Kwa mfano, chaweza kurekodi kipimo cha…

Read More

Fahamu Mambo Muhimu Yasiyotakiwa Kupuuzwa Katika Gari Lako

Global Publishers March 12, 2026 0 Comments Kila mmiliki wa gari anapaswa kuwa makini na alama ndogo ndogo zinazoweza kuashiria matatizo makubwa yanayoweza kusababisha ajali au gharama kubwa za matengenezo. Kupuuza tatizo dogo leo inaweza kumaanisha tatizo kubwa kesho. Hapa kuna mambo muhimu yasiyotakiwa kupuuzwa kwenye gari lako: 1️⃣ Breki – Moyo wa UsalamaBreki ni…

Read More