Utamu wa Azam vs Yanga upo hapa
WALE ‘Wazee wa Mikeka’, ni wazi wikiendi hii watakuwa na kazi katika kusuka mkeka wa mechi ya Dar es Salaam Derby inayozikutanisha Azam FC na vinara wa Ligi Kuu, Yanga. Hii ni mechi ngumu uwanjani kwa wachezaji wa timu zote, lakini hata kwa ‘Wazee wa Mikeka’ wana kibarua cha kusuka mikeka yao ili itiki, kwani…