Yanga yafuata winga mwingine DR Congo

KAMA unahisi Yanga imeridhika na kikosi chake cha sasa, basi umekosea kwani mabingwa hao wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara wameshaanza kupiga hesabu za kumchukua winga mmoja wa DR Congo, huku wakichuana na Waarabu kutoka Algeria kuwania saini ya staa huyo. Iko hivi; Yanga imejikuta ikipishana mlangoni na MC Alger ya Algeria katika kuulizia saini…

Read More