MASHEKHE WAMPONGEZA MBUNGE LUTANDULA KUFUTURISHA WAISLAMU
Mbunge wa Jimbo la Chato Kusini,Pascal Lutandula …………. MASHEKHE wa Bakwata Jimbo la Chato Kusini wamepongeza matendo ya huruma yaliyoonyeshwa na Mbunge wa Jimbo hilo Pascal Lukas Lutandula baada ya kuwafuturisha waislamu wasiojiweza katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Pongezi hizo zimetolewa kwa nyakati tofauti katika Sikukuu ya Eid El-Fitr na Mashekhe wa misikiti ya Bakwata…