Kinara wa Wademokrati katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amekosoa serikali na Warepublican nchini humo kwa hakika vita dhidi ya Iran na kusisitiza udharura wa kubadilishwa utawala wa Marekani.
Hakim Jafris ambaye ni mtangazaji wa New York katika Kongresi ya Marekani ameandika katika mtandao wa kijamii wa X kwamba: “Donald Trump na Warepublican wenye misimamo mikali wameanzisha vita vya kichokozi huko Magharibi mwa Asia.
Hakim Jefris ameongeza: Trump na Netanyahu wamesababisha maafa ya binadamu huko Asia Magharibi.
Wakati huo huo, Seneta wa chama cha Democratic, Elizabeth Warren amemtuhumu Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuwa wamechochea moto wa vita na kufanya maafa ya binadamu eneo la Asia Magharibi.
Seneta huyo wa jimbo la Masachussets amesema, Trump na Ntanyahu wameanzisha vita huko Asia Magharibi na msingi maafa ya binadamu. Hebu tazama Lebanon! Israel imeua zaidi ya raia elfu moja wa Lebanon ambao karibu asilimia 20 miongoni mwao ni watoto.
Elizabeth Warren ameongeza kuwa Kongresi haipasi kupasisha gharama ya vita hivi.