Serikali Yatangaza Nafasi za Kazi 630, Mwisho wa maombi Aprili 4, 2026
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza jumla ya nafasi 630 za kazi kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi mbalimbali katika taasisi za serikali (MDAs & LGAs) pamoja na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Fungua link hii kusoma zaidi…