Wadau Washangazwa na Ukaribu wa Diamond na Lulu Diva

Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Msanii nyota wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa WCB Wasafi, Diamond Platnumz, Machi 23, 2026 amezua gumzo mitandaoni baada ya kumpongeza Lulu Diva katika siku yake ya kuzaliwa kwa ujumbe ulioonekana kuwagusa wengi. Kupitia comment aliyoiandika kwenye picha za Lulu Diva, Diamond alimtakia maisha marefu na yenye…

Read More

Serikali Yazindua Mtumiaji App Kuimarisha Mawasiliano na Kulinda Watumiaji Nchini

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Agellah Jasmine Kairuki, amezindua rasmi mfumo wa kidijitali wa kuhudumia watumiaji wa huduma za mawasiliano ujulijanao kama Mtumiajiapp ulioandaliwa na TCRA-CCC , leo Tarehe 23/03/2024 katika ukumbi wa Millennium Towers uliopo jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo umehudhuriwa na wadau wa sekta ya mawasiliano pamoja na wananchi mbalimbali….

Read More

Fanya Hivi Kama Unaona Mpenzi Wako Hamuendani!

NI Jumanne nyingine tunakutana kwenye eneo letu la kupeana elimu ya uhusiano. Ulimwengu huu ni mzuri kama utampata mtu sahihi. Mtu ambaye mnapendana kwa dhati na hakuna hata mmoja wenu ambaye anamsumbua au kumyanyasa mwenzake.  Kizazi cha sasa kimetawaliwa na ugomvi, usaliti, tamaa na kila aina ya mambo mabaya. Bahati mbaya sana hata wale walioko…

Read More