Mtego mpya wa Pedro Yanga

YANGA imetangaza imemrudisha Abdihamid Moalin na kumwongeza katika benchi la ufundi la timu hiyo kuwa msaidizi wa Pedro Goncalves ambaye inaelezwa anahesabu siku katika klabu hiyo kutokana na kile kilichobainishwa aina ya uchezaji wa Yanga hauendani na wachezaji waliopo. Uamuzi huo umekuja baada ya kikazo kizito kilichofanywa na uongozi wa Yanga juzi Jumatatu ukiongozwa na…

Read More