Jinsi kinga mpya ya VVU itakavyofanya kazi
Dar es Salaam. Serikali imeanza maandalizi ya kutumia dawa mpya ya sindano ya Lenacapavir kama njia mbadala ya kinga dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua inayotarajiwa kurahisisha ufuasi wa tiba kwa makundi mbalimbali ya wananchi. Akizungumza katika mahojiano maalumu jijini Dodoma, Mfamasia Mkuu wa Serikali, Daudi Msasi amesema Lenacapavir italenga zaidi watu walio katika…