Pedro atuma ujumbe Yanga | Mwanaspoti

WAKATI Yanga ikijipanga kurejea mazoezini kesho Jumatatu, kocha wa kikosi hicho Pedro Goncalves, ameweka wazi hesabu zake juu ya mastaa watano wa timu hiyo, huku akikiri kwamba kurejea kwao utaimarisha zaidi kikosi. Yanga imeingia na mguu mbaya msimu huu kwa janga la wachezaji majeruhi ambalo limeendelea kuitafuna timu hiyo ikiwa na wachezaji nane majeruhi ambapo…

Read More

Hizi Hapa Sababu za Kwa Nini Mpenzi Wako Hakuonei Wivu?

MAPENZI yananoga wivu unapokuwa ndani yake. Ukitathimini kwa harakaharaka, unaweza kusema kama hakuna wivu, hakuna mapenzi. Inapotokea mpenzi wako, hata ufanye nini hakuonei wivu, bila shaka hata wewe utahisi kuna tatizo. Unatamani kale ‘kawivu’ kidogo ili ujisikie unapendwa. Maana, tafsiri nyingine ya mtu asiyekuwa na wivu, huwa ni ile ya ‘wewe fanya yako, na mimi nifanye…

Read More