Orkeeswa yajifua Zanzibar kusaka uzoefu wa kimataifa

KOCHA Mkuu wa timu ya kikapu kwa wanawake ya Orkeeswa kutoka Arusha, Benjamin John amesema ushiriki wao katika mashindano ya Asma Mwinyi Next Generation ni sehemu ya maandalizi ya kikosi hicho kuelekea mashindano ya Afrika yanayotarajiwa kufanyika Juni mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuwasili Zanzibar kwa ajili ya kushiriki mashindano ya…

Read More

Abdu Mandeke: Ndoto Ulaya imetimia, sasa ni kazi tu

BAADA ya kusajiliwa na Riga FC ya Latvia, kiungo mshambuliaji Abdu Mandeke amesema malengo yake yametimia kutua barani Ulaya, lakini anatamani kucheza na kuonyesha kiwango bora ili kimfungulie njia zaidi. Mandeke ambaye amejiunga na timu hiyo akitokea Grassrunners Academy ya Nigeria, amesema kuwa kujiunga na Riga FC ni hatua kubwa katika maisha yake ya soka…

Read More

Said Jr anakitaka kiatu cha dhahabu Malaysia

MSHAMBULIAJI Mtanzania Said Khamis Said Jr anayekipiga katika timu ya Imigresen ya Ligi Kuu Malaysia ameamua kupigania kiatu cha dhahabu katika mashindano hayo akimkimbiza polepole anayeongoza kwenye msimamo wa wafungaji bora hadi sasa. Nyota huyo wa zamani wa Hatta Club ya Ligi Daraja la Kwanza Dubai na Bani Yas ya Falme za Kiarabu, msimu huu…

Read More

Mechi za uamuzi Yanga, Simba

Keshokutwa Jumatano Aprili Mosi 2026, Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea ambapo kwa mwezi huo pekee hadi unakamilika, kuna kitu kinaweza kuamuliwa kwa baadhi ya timu zinazoshiriki ligi hiyo. Hadi ligi inasimama kupisha mechi za Kalenda ya FIFA, Yanga ilikuwa kileleni mwa msimamo ikikusanya pointi 38, wakati KMC ikiburuza mkia na pointi nane, timu hizo mbili…

Read More

Ibenge anatembea na rekodi ‘Top Five’

KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge ametua nchini na kuanza na rekodi ya aina yake akiwa hajapoteza mechi ndani ya dakika 90 dhidi ya timu zilizomaliza ndani ya tano bora msimu uliopita, huku akisema kazi waliyo nayo ni kuendelea kuonyesha utofauti. Azam haijafungwa na Yanga kwenye mzunguko wa kwanza ikipata suluhu, imepata pointi tatu mbele…

Read More

Fei Toto awaacha mbali Pacome, Chama

KIWANGO kizuri kinachoonyeshwa msimu huu na kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, kimemfanya kuwapiga bao nyota mbalimbali wakiwemo Pacome Zouzoua wa Yanga na mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama ‘Triple C’ wa Simba. Fei Toto, ndiye mchezaji aliyechangia mabao mengi ya Ligi Kuu Bara msimu huu wa 2025-2026, baada ya nyota huyo…

Read More

Donald Trump Atoa Kauli Tata Kuhusu Mafanikio na Uongozi

Global Publishers March 30, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald Trump, amezua mjadala baada ya kueleza kuwa wakati mwingine hupenda kuwa karibu na watu anaowaona kama walioshindwa kwa madai kuwa humsaidia kujisikia vizuri zaidi. Trump alitoa kauli hiyo wakati wa kipindi cha maswali na majibu (Q&A) katika mkutano wa Future Investment Initiative (FII) Priority…

Read More