Mtanzania Afariki Uturuki Baada ya Kudondoka Ghorofa ya 14, Utata Wazuka – Video

Global Publishers March 31, 2026 0 Comments Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha Mtanzania aliyefariki dunia baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya 14 nchini Uturuki, umeibuka mjadala mkubwa kuhusu mazingira ya tukio hilo. Baadhi ya taarifa zisizothibitishwa zimekuwa zikidai kuwa huenda bosi wa marehemu alihusika kwa kumsukuma kutoka juu ya jengo hilo. Aidha, utata ulijitokeza…

Read More

Uwajibikaji duni wasababisha hifadhi ya Tazama kuvamiwa

Dar es Salaam. Katika sehemu ya pili ya uchunguzi maalumu wa Mwananchi linakuleta kuhusu hatari zinazolikumba eneo la ukanda wa bomba la mafuta la Tazama, tunakuletea mvutano wa kauli kati ya Serikali na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), huku kila upande ukieleza msimamo wake kuhusu matumizi ya eneo hilo nyeti. Katika uchunguzi huo, Mwananchi imebainika…

Read More

Wito shule binafsi kuchangamkia elimu ya amali

Dar es Salaam. Katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi, ambako ajira rasmi zinazidi kuwa haba na ushindani wa soko la ajira unazidi kupanda, mfumo wa elimu hauwezi kubaki vilevile.  Wazazi wanahitaji kuona watoto wao wakipata maarifa yatakayowasaidia kujitegemea, kuajirika au kujiajiri mara tu wanapohitimu masomo yao.  Hili ndilo chimbuko la msukumo mpya wa kuimarisha elimu ya…

Read More

Mary Mugitu na ndoto ya biashara iliyogeuka tumaini kwa wanawake

Arusha. Katika nyakati hizi ambazo dunia ya biashara imejikita zaidi katika ushindani na faida, simulizi ya Mary Mugitu inabeba sura tofauti –huruma, maono na dhamira ya kuleta mabadiliko katika familia na Taifa kwa ujumla. Mugitu akizungumza na Mwananchi hivi karibuni, amesema kwake biashara haikuwa njia ya kutafuta kipato pekee, bali ilikuwa jibu la changamoto alizoziona…

Read More

Dalili 5 Muhimu za Ugonjwa wa Figo Usizopaswa Kupuuza

Figo hufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja katika mwili wetu. Huondoa taka katika mwili. Kuweka uzaini wa maji na madini ya elektroliti. Figo hufuatilia shinikizo la damu na pia kusaidia katika kutengeneza seli nyekundu za damu. Lakini mara nyingi watu hupuuza dalili za mwanzo za figo kushindwa kufanya kazi vizuri. Ikiwa ishara hizi zitatambuliwa kwa…

Read More

Chris Brown Azua Gumzo Baada ya Kumbusu Shabiki Jukwaani

Global Publishers March 31, 2026 0 Comments Msanii maarufu wa muziki kutoka Marekani, Chris Brown, amezua gumzo kubwa mitandaoni kufuatia tukio lililotokea katika moja ya maonyesho yake ya hivi karibuni, ambapo alionekana akimbusu shabiki aliyekuwa amepandishwa jukwaani. Katika video inayoendelea kusambaa kwa kasi, Chris Brown anaonekana akiwa katika hali ya ukaribu na shabiki huyo wakati…

Read More