Kupanda gharama za uwanja Arusha, Wadau wataka uwajibikaji
Wadau mbalimbali wameibua mjadala kuhusu ongezeko la gharama na changamoto za usimamizi katika miradi ya viwanja vya michezo, masuala ya uwajibikaji na uwazi yanapaswa kupewa kipaumbele ili kurejesha imani ya wananchi katika utekelezaji wa miradi ya umma. Wanasisitiza umuhimu wa kufuata taratibu zilizowekwa katika mpango wa miradi kabla ya kuendelea na utekelezaji. Hoja hizo zimetokana…