Kupanda gharama za uwanja Arusha, Wadau wataka uwajibikaji

Wadau mbalimbali wameibua mjadala kuhusu ongezeko la gharama na changamoto za usimamizi katika miradi ya viwanja vya michezo, masuala ya uwajibikaji na uwazi yanapaswa kupewa kipaumbele ili kurejesha imani ya wananchi katika utekelezaji wa miradi ya umma. Wanasisitiza umuhimu wa kufuata taratibu zilizowekwa katika mpango wa miradi kabla ya kuendelea na utekelezaji. Hoja hizo zimetokana…

Read More

Pedro: Yanga kuna shida! Amtaja Moallin

WAKATI baadhi ya mashabiki wa Yanga wakionekana kutofurahia kiwango cha timu hiyo, kocha mkuu Pedro Goncalves amesema baadhi ya watu wanalalamika bila kujali kwamba timu inafanya vizuri. Vilevile amegusia ujio wa Abdihamid Moalin kwamba halikuwa pendekezo lake, lakini anaamini kuwa ataisaidia klabu hiyo kufika mbali. Yanga ambayo ilianzishwa miaka 91 iliyopita, inaongoza msimamo wa Ligi…

Read More

Yazindua Mfumo Mpya wa Makombora Yatangaza Mkakati Mpya wa Ulinzi

Global Publishers April 1, 2026 0 Comments TOKYO, Tokyo — Japan imeanza rasmi kutumia mfumo wake wa kwanza wa makombora ya masafa marefu katika kambi ya kijeshi ya kusini-magharibi, hatua inayolenga kuimarisha uwezo wa ulinzi na kujibu vitisho vinavyozidi kuongezeka katika eneo la Asia. Kulingana na maafisa, makombora yaliyoboreshwa ya aina ya Type-12 land-to-ship, yaliyotengenezwa…

Read More

Makosa Yanayosababisha Wanawake Wasiolewe Yapo Hapa!

WAHENGA huwa wana misemo yao ile kwamba sijui kuolewa ni bahati, kuolewa ni tabia na mingine mingi tu. Leo nataka tujadili juu ya makosa ambayo wanawake wengi wanayafanya na kujikuta wakishindwa kuolewa.  Wanawake wengi wamekuwa wakikwama kuolewa bila kujua sababu ni nini. Au hata kama wanajua kuna ile hali fulani ya ubishi, ujeuri ambao unachangia…

Read More