Walemavu 110 kukutanishwa Kilimanjaro usiku wa ‘Night to shine’
Moshi. Wakati jamii ikitakiwa kuwaibua na kutowaonea aibu watu wenye ulemavu nchini, Shirika la New Life Foundation mkoani Kilimanjaro limepanga kuwakutanisha walemavu 110 mkoani humo kama ishara ya kuwathamini na kuwatambua. Katika siku hiyo maalumu iliyopewa jina “Night to Shine” ambayo itafanyika Februari 13, 2026, watavalishwa mataji maalumu kama ishara ya kuthaminiwa katika jamii, na…