Nderiananga aeleza mchango wa nukta nundu kwa wasioona
Dodoma. Serikali imesema jamii ya watu wasioona ina nafasi muhimu na ya msingi katika maendeleo ya Taifa ambapo kupitia elimu, sanaa, ujuzi wa kazi mbalimbali, michezo, pamoja na mchango wao katika kuhifadhi na kuendeleza urithi wa kitamaduni, watu wasioona wameendelea kuthibitisha kuwa ni rasilimali muhimu ya Taifa. Aidha ushirikishwaji wao kikamilifu katika shughuli za kijamii,…