Sungusungu waonywa kujichukulia sheria mkononi

Kahama. Katika harakati za kudumisha usalama wa wananchi na mali zao, Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limewataka jeshi la jadi, sungusungu pamoja na wananchi kushirikiana na jeshi hilo katika kudhibiti uhalifu. Hayo yamesemwa leo Februari 11, 2026 na Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi wakati akizungumza na wananchi wa kata ya Lunguya…

Read More

Chalamanda afichua malengo JKT Tanzania

LICHA ya kumaliza duru la kwanza kileleni Ligi Kuu Bara, kipa wa JKT Tanzania, Ramadhan Chalamanda amesema hawajafikia malengo na mkakati wao ni kumaliza msimu huu nafasi tatu za juu, huku akichekelea rekodi. Maafande hao wamekuwa bora msimu huu ambapo majuzi waliizima Mashujaa 1-0 na kukamilisha mechi 15 duru la kwanza kileleni wakiwa na pointi…

Read More

12,000 waajiriwa kampuni za kigeni Zanzibar, vijana waitwa

Unguja. Zaidi ya wazawa 12,244 wameajiriwa na kampuni za kigeni zinazoendesha shughuli zake Zanzibar katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, lakini bado ipo changamoto ya baadhi ya vijana kushindwa kujitokeza au kuchangamkia fursa zilizopo. Hayo yameelezwa leo Februari 11, 2026, katika mkutano wa Baraza la Wawakilishi na Waziri wa Kazi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff,…

Read More

Wagosi wamaliza gundu la siku 76

USHINDI wa mabao 4-1 ilioupata Coastal Union mbele ya Tanzania Prisons umeiwezesha kuondoa jinamizi la siku 76 bila ushindi Ligi Kuu Bara, huku kocha Mohammed Muya akisema haikuwa rahisi kwani bado wanaijenga timu. Wagosi wa Kaya walipata ushindi mara ya mwisho miezi miwili na siku 15 walipoinyoa Mbeya City mabao 2-0 katika mechi ya Ligi…

Read More

Mgunda alia na Yona Amos

KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema kipigo cha bao 1-0 ilichopewa timu hiyo ugenini na Pamba Jiji kimewashtua, kwani hawakutarajia huku akimtaja kipa Yona Amos aliyechangia kuziacha pointi tatu jijini Mwanza. Namungo ilipata kipigo hicho cha tatu msimu huu katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba na kuiacha isalie…

Read More

TEKNOLOJIA YA BRELI NI NGUZO YA MAENDELEO KWA WASIOONA

……………………. Na Carlos Claudio, Dodoma. Serikali imeahidi kuendelea kuwekeza na kuimarisha matumizi ya Teknolojia ya Breli pamoja na teknolojia saidizi nyingine, ili kuhakikisha watu wasioona wanapata fursa sawa za kushiriki katika maendeleo ya Taifa. Hatua hiyo inaendana na dhamira ya Serikali ya kutokumwacha mtu nyuma katika safari ya maendeleo. Kauli hiyo imetolewa leo Februari 11,2026…

Read More

Nyota Coastal aandika rekodi tatu

MABAO mawili aliyofunga mchezaji wa Coastal Union, Bakari Msimu, katika ushindi wa timu hiyo wa 4-1, dhidi ya maafande wa Tanzania Prisons kwenye Ligi Kuu Bara juzi, yamemfanya nyota huyo kuandika rekodi tatu tamu muhimu kwa kikosi hicho. Nyota huyo alifunga mabao mawili juzi kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya na mengine yakifungwa na Shiza…

Read More

Fikiri, Minziro wachuana Mashujaa | Mwanaspoti

MABOSI wa Mashujaa wameanza mchakato wa kutafuta kocha mpya atakayekinoa kikosi hicho cha maafande, huku makocha wawili ambao ni Fikiri Elias na Fredy Felix ‘Minziro’, anayeifundisha kwa sasa Bigman FC ya Championship wakichuana pia vikali. Hatua ya Mashujaa ya kusaka kocha huyo mpya, inajiri baada ya kuachana na Salum Mayanga, aliyeondoka baada ya kukiongoza kikosi…

Read More