Tajiri atinga mazoezi Yanga Zanzibar
WAKATI kikosi cha Yanga kikiendelea na mazoezi usiku huu kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar mdhamini wa timu hiyo Ghalib Said Mohamed (GSM), ameibuka mazoezi hapo. Iko hivi; Yanga ilianza mazoezi saa 1 kamili jioni ikiwa na wachezaji wote akikosekana Mohamed Damaro ambaye hatakuwepo kutokana na adhabu ya kadi za njano. Katikati ya…