RC Mbeya amwagiza RPC kuongeza kasi kudhibiti ubakaji, ulawiti

Mbeya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa, amemuagiza Kamanda wa Polisi, Benjamin Kuzaga, kuelekeza nguvu katika kukabiliana na matukio ya ubakaji, ulawiti na ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto. Malisa ametoa agizo hilo leo, Jumamosi, Februari 14, 2026, baada ya kukagua gwaride na kukabidhi tuzo kwa askari 15 waliofanya vizuri katika nyanja mbalimbali, hususan…

Read More

Familia tano zabaki bila makazi baada ya ajali ya moto Moshi

Moshi. Familia tano zimebaki bila makazi baada ya moto kuteketeza nyumba ya wapangaji yenye vyumba sita katika Mtaa wa Kanisani, Kata ya Bomambuzi, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Gadafi Dauda Masudi amesema tukio hilo limetokea leo Jumamosi  Februari 14, 2026 asubuhi lakini halikusababisha madhara…

Read More

UWT kuibeba ajenda ya bima ya afya kwa wote

‎Dodoma. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Mary Chatanda amesema jumuiya hiyo itaibeba ajenda ya bima ya afya kwa wote na kuitangaza nchi nzima kuanzia ngazi ya mashina hadi Taifa ili kuwaelimisha wanawake na watu walioko kwenye makundi maalumu kujiunga na bima hiyo. ‎Amesema hiyo ni mojawapo ya mkakati wa jumuiya hiyo…

Read More

Hemed ahimiza uanzishaji mabaraza ya Kiswahili EAC

Zanzibar. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Abdulah amesema maadhimisho ya Kamisheni ya Kiswahili Afrika Mashariki (EAC) yametoa nafasi ya kutafakari maendeleo ya Kiswahili katika jumuiya hiyo. Amesema hayo leo Jumamosi, Februari 14, 2026 wakati akiwasilisha salamu za Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi. Hemed…

Read More

Mpito wa Syria unafanikiwa na makubaliano ya Wakurdi, lakini ghasia na mzozo wa kibinadamu unaendelea – Masuala ya Ulimwenguni

Akiwafahamisha mabalozi kwa mara ya kwanza kama Naibu Mjumbe Maalum, Claudio Cordone alidokeza kwamba makubaliano ya Januari 30 ya kusitisha mapigano na ushirikiano kati ya Serikali ya Syria na Kikosi cha Kidemokrasia cha Syria (SDF) kama maendeleo yanayoweza kuleta mabadiliko. Makubaliano hayo yanatoa ushirikiano wa kijeshi na kiutawala wa kaskazini-mashariki mwa Syria na unajumuisha masharti…

Read More

Viongozi wa migodi midogo wapewa mafunzo ya baruti

Musoma. Wafanyakazi 75  wa migodi ya wachimbaji wadogo mkoani Mara wamepewa mafunzo ya usalama kazini ikiwamo matumizi sahihi ya baruti ili kuepuka majanga na ajali  zinazoweza kutokea kutokana na matumizi yasiyo sahihi  sambamba na mazingira yasiyo salama katika maeneo yao ya kazi. Mafunzo hayo ya awamu ya kwanza yamehusisha walipuaji, wakurugenzi, wakaguzi  na mameneja wa…

Read More

Viongozi wa dini wataka wananchi kuliombea Taifa

Mbeya. Viongozi wa dini mkoani Mbeya wamewaomba wananchi kutumia vyema mwezi wa Ramadhan na Kwaresima kufanya toba, kuomba amani, huruma na msamaha kwa Mungu ili Taifa liendelee kuwa salama. Pia, wamewataka wananchi kujinyenyekeza kwa Mungu na kulaani matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya uchaguzi mkuu, Oktoba 29 kutojirudia ili kutengeneza kizazi chenye maadili kwa jamii….

Read More