Bohari ya Dawa (MSD) imeshinda tuzo ya Huduma kwa Wateja sekta ya Dawa na Vifaa Tiba
Tuzo hiyo imetolewa tarehe 13 Februari 2026, katika hoteli ya King Jada Dar es Salaam na taasisi ya kimataifa inayojishughulisha na kutoa mafunzo, vyeti, na viwango vya taaluma ya huduma kwa wateja (customer service) na vituo vya kupokea simu (call centers inayoitwa Chartered Institute of Customer Management (CICM) Tanzania. Tuzo hii inaonesha namna MSD…