MAHOJIANO MAALUMU: Wasira ataja muundo wa maridhiano, agusia kesi za kisiasa

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema kwa hali ilivyo muundo wa maridhiano unapaswa kuihusisha Serikali ili iiongoze jamii kuridhiana. Amefafanua kuhusu maridhiano ilhali kuna viongozi wa kisiasa wanaoshikiliwa na vyombo vya dola, akisema kuridhiana hakupaswi kuchanganywa na uhalifu, kama mtu amevunja sheria anastahili kuwajibishwa kama raia mwingine….

Read More

Ukiwa na Tabia Hizi, Mwanaume Lazima Akukimbie!

MUNGU ni mwema wapenzi wasomaji wa safu hii. Jumatatu nyingine tena tunakutana na kuweza kupeana darasa la uhusiano. Kujifunza ni muhimu, hakika ukifuatilia makala haya ya leo, utajifunza kitu. Twende pamoja! Kupitia safu hii nimekuwa nikipata malalamiko mengi kutoka kwa wanawake. Kilio chao kikubwa ni kukimbiwa na wanaume au kuachwa. Leo anakuwa na mwanaume huyu,…

Read More

HESLB yaanza kupokea maombi ya mikopo Diploma

Na: Mwandishi Wetu, DAR Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza rasmi kupokea maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ngazi ya Stashahada (Diploma) katika kozi za vipaumbele wanaotarajiwa kudahiliwa mwezi Machi, 2026. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dk. Bill Kiwia, Jijini Dar es Salaam ambapo dirisha la maombi…

Read More

Azam FC, kama Singida Shirikisho Afrika

AZAM FC leo imekamilisha ratiba ya meci za makundi kwa kipigo cha mabao 2-0 ugenini mbele ya Wydad AC ya Morocco na kuunganana na Singida Black Stars kung’oka katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Wawakilishi hao wa Tanzania walikumbana na kipigo hicho kwenye Uwanja wa Mohammed V, Casablanca ambapo licha ya kukomaa na kwenda…

Read More