Kigogo arejea Mbeya City na ujumbe, mashabiki mzuka
ALIYEKUWA Mtendaji Mkuu wa Mbeya City, Ally Nnunduma amesema licha ya timu hiyo kuanza msimu kwa matokeo yasiyoridhisha, lakini ina uwezo wa kumaliza kibabe Ligi Kuu Bara kutokana na mipango na mikakati ya ndani na nje ya uwanja. Nnunduma aliiongoza Mbeya City kwa takriban misimu miwili akipokea nafasi ya mtangulizi wake, Emanuel Kimbe ambapo anakumbukwa…