Waziri Mkuu aagiza watumishi waliosababisha mifuko alfu moja kuganda, wachukuliwe hatua
NA MASHAKA MHANDO, Handeni WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amemwagiza Katibu Mkuu Wizara ya elimu, sayansi na teklonojia, kuwachukulia hatua watumishi wa Wizara hiyo waliosimamia ujenzi wa Chuo Cha Veta wilayani hapa na kusababisha mifuko 1,262 ya saruji kuganda. Sambamba na agizo hilo Waziri Mkuu pia amemwagiza Kamanda…