Kocha Simba aagiza beki kutoka Yanga
YANGA ikiwa inapiga hesabu za kufunga dirisha la usajili baada ya awali kutambulisha mashine nne mpya, kuna jipya limeibuka kutokea Morocco baada ya kocha wa zamani wa Simba, Fadlu Davids amedaiwa kutaka kuchomoa beki mmoja wa klabu hiyo. …