Ushirikiano wa Stanbic, CRDB unavyopaisha Sukuk

Dar es Salaam. Kadiri Tanzania inavyopanua masoko yake ya mitaji, bidhaa za kifedha zilizokuwa zikihusishwa na taasisi kubwa pekee zinaanza kuwafikia wananchi wengi.Utoaji wa hivi karibuni wa Sukuk ya Al Barakah ya Benki ya CRDB ni miongoni mwa ishara zinazoonesha mwelekeo huo, hasa kwa wananchi. Katika mchakato huo, Benki ya Stanbic ilishiriki kama mshirika mwenza…

Read More

WAZIRI MAVUNDE KUWACHUKULIA HATUA MAAFISA MADINI WANAOSABABISHA MIGOGORO

Dodoma | Januari 22, 2026 Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa ambao ofisi zao zitabainika kuhusika au kusababisha migogoro katika shughuli za uchimbaji wa madini, akisisitiza ulazima wa kuzingatia kikamilifu Sheria na Kanuni za Madini katika utekelezaji wa majukumu yao. Mhe. Mavunde ametoa kauli…

Read More

Pwani mwenyeji mashindano ya riadha taifa 

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limeutaja mkoa wa Pwani kuwa mwenyeji wa mashindano ya taifa ya riadha mwaka huu. Mashindano hayo yatafanyika kwa siku tatu kuanzia Mei 29-31 wilayani Kibaha mkoani humo yakishirikisha wanariadha kutoka mikoa yote nchini. Rais wa RT, Rogath John Stephen amesema Kamati ya Utendaji ya shirikisho hilo imeuchagua mkoa huo kuwa…

Read More

Chadema ya miaka 33 ilivyozalisha viongozi nchini

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikiadhimisha miaka 33 tangu kuanzishwa kwake jana Januari 21, kimejipambanua kama chuo cha kupika viongozi ambao wanatumika kufanya kazi serikalini. Usajili huo ulipatikana ikiwa ni miezi michache baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa 1992, wakati wa Serikali ya awamu ya pili…

Read More