Nidhamu ya fedha kwa vitendo mwaka 2026

Tunapoanza mwaka 2026, Watanzania wengi tayari wameweka maazimio ya kifedha kama vile kuongeza akiba, kupunguza madeni, kuanzisha biashara au kuwekeza. Hata hivyo, uzoefu unaonyesha ukweli mmoja mchungu kwamba, maazimio mengi hayadumu zaidi ya miezi michache ya mwanzo wa mwaka. Tatizo si kukosa nia, bali kukosa nidhamu ya fedha na mpangilio. Lakini kama unataka mwaka huu…

Read More

Mikopo ya simu inavyogeuka mkombozi kipindi cha ukata

“Ukisikia ‘Njaanuari’ tarehe kama hizi ndiyo imeshika kasi. Baada ya matumizi makubwa ya sikukuu na likizo za mwisho wa mwaka, unakutana na ada za watoto, kodi ya nyumba, na mahitaji mengine ya lazima. Hapo ndipo unapoanza kutafuta mkopo wa kukuvusha kipindi hiki,” anasema Ismail Hamis, mkazi wa Dar es Salaam. Hamis anasema tofauti na miaka…

Read More

Rais wa Bunge la Umoja wa Mataifa anatetea mfumo wa kimataifa, Mkataba wa Umoja wa Mataifa huko Davos – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza katika kikao hicho Nani Brokers Wanaamini Sasa? katika Kongamano la Kiuchumi la Dunia, Annalena Baerbock alionya kwamba taasisi za kimataifa – ambazo zimeonekana kwa muda mrefu kama wakala wa uaminifu wa kimataifa – ziko chini ya mkazo usio na kifani huku mizozo ikiongezeka na heshima kwa sheria ya kimataifa inamomonyoka. “Nani madalali wanaamini?” Aliuliza….

Read More

kwa nini mgogoro unazidi kuongezeka – na nini kinafuata – Masuala ya Ulimwenguni

Magenge yenye silaha yanadhibiti maeneo makubwa ya eneo na vurugu zimeenea zaidi ya mji mkuu wa Port-au-Prince, na kudhoofisha uwezo wa Serikali wa kutawala na kutoa huduma za kimsingi. Uchaguzi wa rais haujafanyika kwa muongo mmoja na mahitaji ya kibinadamu yamefikia viwango ambavyo havijawahi kushuhudiwa huku mamilioni ya watu wakihangaika kukidhi mahitaji yao ya kila…

Read More

MKURUGENZI MKUU WA NSSF AONGOZA UTOAJI WA ELIMU YA HIFADHI YA JAMII KATIKA SOKO LA TEGETA NYUKI

Na Mwandishi Wetu,  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, amesema hakuna sababu kwa mwananchi aliyejiajiri kushindwa kujiunga na Mfuko huo kutokana na maboresho makubwa yaliyofanywa ambayo yanawawezesha kunufaika na mafao mbalimbali sawa na waajiriwa wa sekta ya umma na binafsi. Bw. Mshomba alitoa kauli hiyo wakati alipowaongoza …

Read More

Simba kushusha kiungo kutoka ligi ya Cameroon

MWANASPOTI limepata taarifa za ndani kutoka Simba kwamba klabu hiyo imemalizana na kiungo mshambuliaji, Iñno Jospin Loemba kutoka Colombe Sportive du Dja et Lobo inayoshiriki Ligi Kuu ya Cameroon. Loemba raia wa Congo Brazzaville aliyezaliwa Agosti 4, 2004, rekodi zake zinaonyesha katika michuano ya CAF kacheza mechi nne, kafunga bao moja. Chanzo cha ndani kutoka…

Read More

Absa Bank Tanzania Yafunga Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ kwa Droo ya Mwisho na Kutangazwa kwa Mshindi wa Zawadi Kuu

Benki ya  Absa Tanzania leo imehitimisha rasmi kampeni yake ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ iliyodumu Kwa miezi mitatu baada ya kufanyika kwa droo ya tatu na ya mwisho katika hafla Iliyofanyika jijini Dar es Salaam, jana.  Droo ya mwisho imehitimisha kampeni ya miezi mitatu iliyolenga kuwazawadia wateja kwa kufanya miamala  na huduma za…

Read More

JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI

Na Mwandishi Wetu. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229, hususan wanapoajiri au kuwasainisha mikataba watumishi wa kada ya habari, ili kuepuka migogoro ya kisheria inayoweza kujitokeza baadaye. Wito huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu…

Read More