POLISI WAKANUSHA TAARIFA YA CHADEMA “HATUJAKAMATA MTU YEYOTE NKASI”
:::::::::::: Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa leo Jumatano Januari 21, 2026 limekanusha taarifa zisizo sahihi zilizosambazwa mitandaoni zikidai kuwa Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wamevamiwa, kukamatwa na kutawanywa kwa nguvu na Jeshi la Polisi wakati wakipanda Miti Wilayani Nkasi, Mkoani Rukwa. Kupitia taarifa yake kwa Vyombo vya habari, Kaimu Kamanda wa…