2026
Baada ya kufunga na kuasisti, Depu atoa ahadi nzito Yanga
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Laurindo Dilson Maria Aurélio maarufu ‘Depu’ amesema anatamani kufanya makubwa zaidi akiwa na timu hiyo na mwanzo wake mzuri ni hatua ya kwanza tu ya safari ndefu aliyojipanga kuifanya klabuni hapo. …
Huduma uzazi wa mpango mbioni kuwa fao bima ya afya kwa wote
Dodoma. Serikali imesema ipo mbioni kukamilisha mchakato wa huduma za uzazi wa mpango kuingizwa katika bima ya afya kwa wote, utakaokamilishwa na muswada wa marekebisho ya Sheria ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), ambao kwa sasa unajadiliwa kwenye Kamati za Bunge. Hatua hiyo imekuja mwaka mmoja ukiwa umepita baada ya Shirika la…
Straika Prisons atua Coastal | Mwanaspoti
ALIYEKUWA mshambuliaji wa maafande wa Tanzania Prisons, Abdulkarim Segeja, amekamilisha usajili wa kujiunga na Coastal Union kwa mkataba wa miezi sita utakaomweka ndani ya kikosi hicho cha Wagosi wa Kaya hadi mwisho wa msimu huu. Nyota huyo aliyejiunga na Prisons katika dirisha dogo la Januari 2023 akitokea Copco ya jijini Mwanza, alisaini mkataba wa miaka…
Mido Singida anukia Azam | Mwanaspoti
MABOSI wa Azam wanaangalia uwezekano wa kumsajili kiungo mshambuliaji wa Singida Black Stars raia wa Ivory Coast, Idriss Diomande, baada ya nyota huyo aliyehusishwa pia kuhitajika na Simba katika dirisha hili dogo dili lake kugonga mwamba. Nyota huyo alikuwa akihusishwa kujiunga na Simba kwa ajili ya kuchukua nafasi ya kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua aliyejiunga…
TAKUKURU Pwani Yatoa Msaada wa Vifaa Tiba kwa Watoto Njiti
Na Khadija Kalili, Kibaha TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani, leo tarehe 21 Januari 2026, imekabidhi vifaa tiba vya kisasa vya aina mbili kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani Tumbi, kwa lengo la kusaidia huduma za afya na ukuwaji wa watoto njiti. Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano…
Dilunga aungana na Mzamiru TRA
KIUNGO wa zamani wa Simba na JKT Tanzania, Hassan Dilunga amekamilisha dili la kujiunga na TRA United akiungana na Mzamiru Yassin waliyecheza pamoja wakiwa Simba. Dilunga ambaye ameitumikia JKT Tanzania kwa misimu miwili, mkataba na klabu hiyo umetamatika hivyo ametua TRA United akiwa mchezaji huru. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TRA United kimethibitisha usajili…
Kihongosi: Hatutafumbia macho miradi itakayotekelezwa chini ya kiwango
Iramba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza hakitanyamaza wala kufumbia macho miradi inayotekelezwa chini ya kiwango, badala yake lazima kipaze sauti. Kauli hiyo imetolewa leo Jumatano Januari 21, 2026 na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi alipokagua ujenzi wa barabara ya Kitukutu – Gumanga – Mkalama – Chemchem – Nyahaa, yenye urefu…
Kipa Alliance ajivunia ubora, akiiwaza Simba
KIPA wa zamani wa Yanga Princess, Husna Mtunda ameanza vyema ndani ya kikosi cha Alliance Girls ya Mwanza akitoa mchango mkubwa kwa kuzuia nyavu za lango lake kuguswa na wapinzani. Mtunda alijiunga na timu hiyo msimu huu akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na Yanga Princess, akichukua nafasi ya Nusra Jafari aliyetimkia Fountain Gate…
Chadema kujenga chuo cha kumbukumbu ya Mtei
Musoma. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinatarajia kujenga chuo kwa ajili ya kumbukumbu ya muasisi wa chama hicho, Edwin Mtei, aliyefariki dunia Januari 19, 2026 ikiwa ni sehemu ya kumuenzi na kuthamini yale aliyoyafanya kwa ajili ya chama hicho na Taifa kwa ujumla. Mbali na ujenzi huo, kimejipanga kuhamasisha wanachama na wapenzi wa chama…