Mkurugenzi wa halmashauri Mbeya aagiza wagonjwa kutibiwa kabla ya malipo
Mbeya. Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya, imeweka msisitizo kwa Hospitali za Serikali wilayani humo, kuhudumia wagonjwa kabla ya malipo ili kuokoa maisha na kupunguza malalamiko. Hatua hiyo imetajwa ni kutekeleza maagizo ya Serikali katika kusimamia sera ya afya kwa vitendo kwa lengo la kuwezesha Watanzania kunufaika kwa kuboreshwa upatikanaji wa huduma za…