Afungwa jela na Jenerali Aliowatetea wakati ICJ Inafungua Kesi ya Mauaji ya Kimbari dhidi ya Myanmar – Masuala ya Ulimwenguni

Aung San Suu Kyi, Waziri wa Muungano wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Muungano wa Myanmar, anahudhuria ufunguzi wa duru ya kwanza ya uchunguzi wa mdomo wa Myanmar katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki mwaka 2019. Tangu wakati huo amefungwa jela na majenerali aliowatetea katika mahakama ya ICJ. Picha ya Umoja wa Mataifa/ICJ-CIJ/Frank van…

Read More

Museveni aongoza matokeo ya awali, uchaguzi ukilalamikiwa

Dar es Salaam. Uchaguzi mkuu wa Uganda umeendelea kuibua mjadala na malalamiko huku matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi yakionyesha Rais Yoweri Museveni anaongoza kwa kura halali zilizohesabiwa hadi sasa. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Tume, Simon Byabakama, Museveni wa chama tawala cha National Resistance Movement (NRM), anaongoza kwa kupata kura 14,232 sawa…

Read More

Watoto wenye magonjwa ya moyo wakumbukwa

Dar es Salaam. Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imejitosa kusaidia mpango wa kitaifa unaolenga kuimarisha upatikanaji wa huduma za matibabu na rufaa za mapema kwa watoto wenye magonjwa ya moyo hapa nchini. Mpango huo unatekelezwa na GGML,  kampuni tangu ya AngloGold Ashanti Afrika, kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)…

Read More

Mandawa anaposahau kumbakishia Mstaafu | Mwananchi

Siku chache zilizopita Mstaafu wetu ambaye hupenda kujinasibu kuwa macho yake yameshaona kila kitu hata yale yasichopaswa kuona. Amesoma habari kwenye mitandao yetu ya kijamii ambayo imemfanya akiri kuwa mimacho yake ya kizee hakika bado haijaona kitu kabisa! Labda inawezekana kuwa macho yake yameishazeeka au pensheni yake ya laki moja elfu hamsini kwa mwezi haijamwezesha…

Read More

Dili la Ahoua kutua Raja Casablanca latibuka

HUENDA taarifa hii ikawapa ahueni mashabiki na wapenzi wa Simba, baada ya kuelezwa lile dili la kiungo mshambuliaji nyota wa timu hiyo, Jean Charles Ahoua kutua Raja Casablanca  huenda likafa kutokana na kocha Fadlu Davids kumnyakua kiungo mpya kutoka Ujerumani. Ipo hivi. Fadlu aliyewahi kuinoa Simba na aliyehusika kumsajili Ahoua Msimbazi na kufanya naye kazi…

Read More