CCTV Camera Zilivyonasa Jamaa Akipigana na Askari Polisi – Video
CCTV Camera Zilivyonasa Jamaa Akipigana na Askari Polisi – Video – Global Publishers Home Habari CCTV Camera Zilivyonasa Jamaa Akipigana na Askari Polisi – Video
CCTV Camera Zilivyonasa Jamaa Akipigana na Askari Polisi – Video – Global Publishers Home Habari CCTV Camera Zilivyonasa Jamaa Akipigana na Askari Polisi – Video
Njombe. Jumla ya vijiji 72 vilivyopo katika mikoa ya Njombe na Iringa vinatarajiwa kunufaika na mradi wa maendeleleo ya matumizi ya ardhi na mnyororo wa thamani ya misitu hapa Tanzania. Taarifa hiyo imetolewa katika tukio la utiaji wa saini wa hati ya makubaliano ya kikanda (MoU) kati ya makatibu tawala wa mikoa ya Njombe na…
Umoja wa Mataifa unatetea kukomeshwa kwa adhabu ya kifo kwa wote. The Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasaimeidhinishwa na nchi 175inalinda haki ya kuishi na kubainisha kwamba, kwa nchi ambazo hazijafuta adhabu ya kifo, itolewe kwa ‘makosa makubwa zaidi’ katika kesi za kipekee. OHCHR alisema ongezeko kubwa katika adhabu ya kifo mwaka…
Bukina Faso. Rais wa zamani wa mpito wa Burkina Faso, Paul-Henri Damiba amekamatwa na kufikisha kwenye vyombo vya sheria nchini Togo kwa tuhuma za kupanga njama za kutaka kumuua Kapteni Ibrahim Traore. Taarifa iliyochapishwa mtandao wa African News leo Jumanne Januari 20, 2026, imeeleza kiongozi huyo wa zamani baada ya kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo…
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoani Ruvuma limewahimiza wananchi na watumiaji wa umeme kuhakikisha wanalinda na kutunza miundombinu ya umeme iliyopo katika maeneo yao ili huduma ya umeme iendelee kupatikana kwa uhakika kama ilivyokusudiwa na Serikali. Wito huo umetolewa na Afisa Uhusiano Huduma kwa Wateja wa TANESCO mkoani Ruvuma, Alan Njiro, wakati akitoa elimu kwa…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya limetoa ufafanuzi kuhusiana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha Askari wa Jeshi la Polisi akipambana na mtu mmoja huku akiwa na bunduki. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma Januari 19, 2026 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tarime/Rorya, tukio hilo lilitokea Januari 15, 2026 majira…
Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Salvio Kapinga, ametembelea Kata za Mkako na Kihangimahuka katika mwendelezo wa ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa ushindi mkubwa waliompatia yeye na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha…
WAKATI kikosi cha Yanga kikiondoka leo Jumatano jijini Dar es Salaam kuifuata Al Ahly, Misri kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Pedro Goncalves amesema hana presha yoyote kuhusu pambano hilo na kilichompa faraja kubwa ni ubora ulioongezwa na wachezaji wapya waliosajiliwa dirisha dogo msimu huu. …
Muheza. Vyombo vya ulinzi wilayani hapa vinatarajia kuendesha oparesheni ya kuwasaka wachimbaji haramu wa madini, wanaoendesha shughuli hizo katika vyanzo vya maji vilivyopo Tarafa za Amani na Bwembwera. Oparesheni hiyo inalazimika kuendeshwa kufuatia wimbi la uharibifu wa vyanzo vya maji vilivyo chini ya Bodi ya Bonde la Pangani kushamili, baada ya kuibuka upya kwa wachimbaji…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20,2026 amefanya mazungumzo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.