Wadau wahoji muundo wa SUK, wasisitiza masilahi ya Taifa
Dar es Salaam. Wadau wa siasa nchini wamevishauri vyama vya CCM na ACT-Wazalendo upande wa Zanzibar kuweka kando masilahi ya vyama vyao na badala yake kutanguliza masilahi mapana ya Taifa, ili kufanikisha uundwaji na uendelevu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK). Wadau hao wamesema ili SUK iwe na taswira halisi ya umoja wa kitaifa,…