Usajili wa Kibabage Simba wawaibua mastaa

SIMBA imeshamtambulisha beki wa kushoto mpya, Nickson Kibabage akitokea Singida Black Stars, lakini usajili huo umewaibua mastaa wa zamani wa klabu hiyo kuukosoa na kuuona haujaongeza kitu chochote badala yake wanaona ni kufifisha ushindani. Kibabage aliyewahi kuzitumikia KMC na Yanga, alitangazwa rasmi na Singida BS ametolewa bila malipo kwenda Msimbazi, ikielezwa ameenda kuongeza nguvu eneo…

Read More

Moto kuwaka Ramadhani Star League

NYOTA wa timu zinazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), wanatarajia kuchuana katika mashindano ya kugombea Kombe la Ramadhani ‘Ramadhan Star League’. Mashindano hayo yameandaliwa na Taasisi ya michezo ya Mchenga Academy kwa kushirikiana na Twiga Sport Promotion na yamepangwa kuanza Februari 20 mwaka huu kwenye Uwanja wa DonBosco Oysterbay, Dar es…

Read More

Mzee Edwin Mtei Kuzikwa Januari 24 Arumeru Arusha

Last updated Jan 20, 2026 Mashinda Mtei, mtoto wa tatu wa aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Waziri wa zamani wa Fedha na mwanzilishi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), marehemu Mzee Edwin Mtei, ametangaza kuwa baba yake atazikwa Jumamosi, Januari 24, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari, Mashinda…

Read More